Tag Archives: Zanzibar
Habari ya jana 1: Profesa Safari ajiunga na CHADEMA
Aliyosema Kikwete
Masuala ya walimu
Nyaraka, Ilani na miongozo (vilivyotolewa na viongozi wa dini)
Yaliyojiri kwenye kikao cha NEC-CCM, Dodoma
Ufisadi, rushwa na mafisadi
Kesi ya Zombe
Nimeomba pesa, nimeomba pesa, nimeomba pesa — ADB, Benki ya Dunia, Serikali ya Saudi Arabia, Serikali ya China
(alikuwa akirudia-rudia)
Miundombinu: Lindi, Mtwara, Kigoma, Kagera
Suala la Richmond *kampuni kanyaboya*. Kumbe hata yeye aliishutukia.
Uhuru wa vyombo vya habari
Masuala ya Muungano na Zanzibar
Falsafa ya maisha bora kwa kila mtanzania
Ambayo hakuyasema:
- Tatizo la mtikisiko wa uchumi duniani
- Ukame na njaa katika mikoa ya kaskazini
Observations:
Tido Mhando tunayemjua sio yule mwandishi wa habari machachari wa BBC aliyekuwa na maswali ya kichokozi. That tells you something: If you are not careful, you will be changed by the system instead of you changing it.

Access to clean water in rural areas of Tanzania is still a problem


