If, and this is constitutional, Kiswahili is our National language, why do we write matters of national concern in English? Weird!
Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya sheria-mama (katiba) tuliyo nayo sasa. Sheria mbovu, viongozi wasioweza kuwajibishwa, mamlaka makubwa aliyo nayo Rais, sheria zinazokinzana, tofauti za kisheria kati ya Zanzibar mpya na Tanganyika ya leo, vyeo ambavyo havistahili kabisa kuwepo kwa sababu ya mazingira tuliyomo n.k. n.k.