RSS Feed

Tag Archives: kashfa

ile kesi ya BoT: Liyumba aenda jela masika mbili

Posted on

Hatimaye ile kesi iliyonguruma kwa zaidi ya mwaka mmoja iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa mtumishi wa Benki hiyo leo ilifikia kikomo chake. Jopo la mahakimu (majaji?) waliokuwa wakiiendesha kesi hiyo lilitoa hukumu leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi pale Kisutu. Jamaa amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela. Je unasemaje kuhusu hii hukumu? Ni sawa?

Aliyosema Kikwete

Posted on

Masuala ya walimu

Nyaraka, Ilani na miongozo (vilivyotolewa na viongozi wa dini)

Yaliyojiri kwenye kikao cha NEC-CCM, Dodoma

Ufisadi, rushwa na mafisadi

Kesi ya Zombe

Nimeomba pesa, nimeomba pesa, nimeomba pesa — ADB, Benki ya Dunia, Serikali ya Saudi Arabia, Serikali ya China
(alikuwa akirudia-rudia)

Miundombinu: Lindi, Mtwara, Kigoma, Kagera

Suala la Richmond *kampuni kanyaboya*. Kumbe hata yeye aliishutukia.

Uhuru wa vyombo vya habari

Masuala ya Muungano na Zanzibar

Falsafa ya maisha bora kwa kila mtanzania

Ambayo hakuyasema:

  • Tatizo la mtikisiko wa uchumi duniani
  • Ukame na njaa katika mikoa ya kaskazini

Observations:

Tido Mhando tunayemjua sio yule mwandishi wa habari machachari wa BBC aliyekuwa na maswali ya kichokozi. That tells you something: If you are not careful, you will be changed by the system instead of you changing it.

Access to clean water in rural areas of Tanzania is still a problem

Access to clean water in rural areas of Tanzania is still a problem

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.