RSS Feed

Shukrani

Posted on

Huwa wanasema ukikosa shukrani huwezi kuwa na maendeleo. Nimekuwa kimya sana kwenye hii blog yetu ya viongozi. In short, tangu mwaka huu wa 2011 uanze sijaandika jambo hata moja. Sina cha kusingizia ila niseme tu nimekuwa mvivu. Lakini pia nimekuwa nikijaribu kutafakari mwelekeo mpya wa uandishi wangu.

Asante sana msomaji wangu kwa kuendelea kunivumilia na kuendelea kusoma posts za zamani. Naahidi kurudi kwa upya.

Heri ya Mwaka Mpya (si mpya tena). Barikiwa.

Kiongozi.

About Mwemezi

I am Tanzanian. I live and work in Tanzania. I work as a researcher in Environment, Sustainability and Development. I speak Swahili and a little bit of English ;) Welcome and have fun.

One Response »

  1. Poa tuendelee tu kupata majimambo zaidi, kwa upande wa uharibifu wa misitu uanasemaje kwani tuna data za uharibifu mwingi wa mazingira ni vipi mambo haya yatawekwa wazi ili hali viongozi ni wahusika wakuu!!!!!!!!!!!!!!!!

    Reply

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.