RSS Feed

Chakula cha Kitanzania

Posted on
Hmmmm; ugali samaki na vimaharage kwa pembeni. Hapo je?

Hmmmm; ugali samaki na vimaharage kwa pembeni. Hapo je?

Acha nikuulize swali la kizushi: Mara ya mwisho kula ugali ilikuwa lini? Hahaha. Kama upo hapa nyumbani litakuwa ni swali rahisi kwako ila kama upo ughaibuni, linaweza kuwa swali gumu sana kwako.

About Mwemezi

I am Tanzanian. I live and work in Tanzania. I work as a researcher in Environment, Sustainability and Development. I speak Swahili and a little bit of English ;) Welcome and have fun.

3 Responses »

  1. Ebwana hapo umenikumbusha nyumbani kabisa,maana huo msosi si wa kitoto yani hapa udenda unataka kutoka maana huku ughaibuni kidogo inakuwa ni ngumu,ila jamani ugali na umma ile kibongo sijaona mie.

    Reply
    • Ally,
      Chakula cha Kibongo kina mambo yake kaka. Na hapo unaona umma na kisu kwa sababu tu nilienda kwenye hoteli fulani fulani hivi. Ila ukinikuta home, ninakamata tu kwa mkono. Hahaha

      Reply
  2. chukua msosi wa kinyaru huo

    Reply

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.